Search

154 results for Mary Clemence :

  1. Wafanyabiashara 18 nguvuni kukiuka bei elekezi ya sukari Katavi

    Wafanyabiashara 18 mkoani hapa, wamekamatwa wakiuza sukari Sh3500 hadi 4000 kwa kilo moja, kinyume na bei elekezi ya Serikali ya Sh3200.

  2. Ukosefu wa madaktari bingwa shubiri kwa wananchi Wilaya ya Tanganyika

    Wengi washindwa kumudu gharama za matibabu nje ya wilaya yao ambayo ina tatizo la madaktari bingwa

    New Content Item (1)
  3. Wananchi wanaodai fidia wasusia mkutano wa RC Katavi

    Kupitia ziara ya mawaziri wanane kujiridhisha na kutoa mapendekezo kwenye maeneo yenye migogoro ya ardhi, waliamuru wananchi hao walipwe fidia kwa kuwa hawakuvamia isipokuwa wameuziwa.

  4. Upepo mkali waacha majanga Katavi

    Nyumba zaezuliwa paa, huku kaya 10 zikikosa makazi

  5. Bajeti ya Sh63.5 bilioni kukamilisha miradi viporo Mufindi

    Imeelezwa kuwa, matarajio ya wananchi ni kuona miradi mbalimbali inatekelezwa ikiwamo ujenzi wa madarasa na zahanati

  6. Baba adaiwa kufukua mwili wa mwanaye ukafanyiwe maombi afufuke

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limesema mtuhumiwa alipofanyiwa uchunguzi alibainika kuwa na tatizo la afya ya akili

  7. Binti atupa kichanga chooni hospitalini akihofia kuachika

    Rehema Erick (19) mkazi wa Kijiji cha Mtapenda Halmashauri ya Nsimbo ametupa mtoto chake kichanga cha siku moja chini ya sinki la kunawia mikono kwenye choo cha hospitali ya Nsimbo muda mfupi...

  8. 124 wadakwa Katavi kwa makosa mabalimbali

    Jeshi la Polisi mkoa wa Katavi linawashikiliwa watu 124 wakituhumiwa kufanya makosa tofauti, kati yao wanne wanahusishwa na tukio la mauaji ya watoto wawili.

  9. Kizungumkuti uzalishaji pamba Katavi

    Usimamizi mbovu katika uzalishaji wa pamba mkoani Katavi, watajwa kama chanzo kutofikia malengo ya uzalishaji na hivyo kushindwa kukidhi mahitaji ya kinu cha kuchambua pamba cha kampuni ya NGS.

  10. Watoto wawili waua kwa mapanga, wivu wa mapenzi wahusishwa

    Watoto wawili Maria Mtemvu (13) na Ester Enock (2); wakazi wa kitongoji cha Kabatini Kijiji cha Mpimbwe Halmashauri ya wilaya ya Tanganyika, wameua kikatili kwa kukatwakatwa mapanga chanzo...

Page 1 of 16

Next